收听Okello Max的Nakufa歌词歌曲

Nakufa

Okello Max, Bensoul, Amlyoto2021年9月3日

Nakufa 歌词

Nakufa - Okello Max/Bensoul/Amlyoto

Lyrics by:Julius McRymboh/Benson Mutua/Brian Amlyoto

Composed by:Julius McRymboh/Benson Mutua/Brian Amlyoto

Sheri kimula mimi nakufa

 

Ani nya jamoko mami itoyo fuondana

 

Ahero sana pilirundo ga wiya

 

Nyathi jomoko adieri ilalo ga pacha

 

To dong adengo ti kaayudo konyruok na

Ani weauru monda asunge jabatha

Opong' to muol atoti unanimalisa

 

Niisi na wewe milele mpaka kufa

 

Unisalie watoto mama

Nakuahidi hutokosa

Ayie idho gode monda aketie kuon e mesa

 

Aseko yie koro ateri moso anyuola

Mama naaa yeah

 

Muziki santima muziki bila jasho

 

Sheri mama baby

 

Nakufa nakufa nakufa

 

Nakufa nakufa nakufa

Sheri mama baby

 

Nakufa nakufa nakufa

 

Nakufa nakufa nakufa

Mama sheri

Usiniache nitakufa eeh

 

Kila unaponipigia simu lazima nitakuja eeh

Ukisema nikuje jioni nitanunua chupa mama

Lolo tupendane mpaka kufa eeh

 

Oooh Sheri mapenzi ya leo naogopa

 

Kwanza warembo wa ngolopa

 

Wameweka mitego kwenye mabar

 

Ila ukinitega sitakataa

Nitakopa ee nitalima ee mama

Nitachanga nitaiba

Oh oh oh oh tupendane mpaka kufa eeh

Muziki ya pesa muziki bila presha

 

Sheri mama baby

 

Nakufa nakufa nakufa

 

Nakufa nakufa nakufa

Sheri mama baby

 

Nakufa nakufa nakufa

 

Nakufa nakufa nakufa

Baby babe nishaachana na maformu za Ashura babe

Hata Nafula namba yake nimefuta

 

Naku assure eeh

 

Usiku silali naona sura yako mrembo

Daily natamani kwako ningekuwa visible

Nateswa na rada kila nikikuona na huyo jamaa

 

Kweli mama wanifaa waniua

 

How do I live without you beiby

 

Nenye khube wanje

Nipeleke Eregi kwa mama

Nimweleze na baba

Girl I need you in my life

Naona wivu when I see you holding hands

Kama mwezi usiku

 

Baby you know you're the one

Sheri baby you're the one

Mama without you I can die

Baby baby yeah

Nakufa nakufa nakufa

 

Nakufa nakufa nakufa

Sheri baby nakuhitaji yeah

Mama without you siwezi yeah

Baby I will die yeah

Nakufa nakufa nakufa baby yeeeh yeeeh

 

Nakufa nakufa nakufa