Listen to Baikoko (feat. Diamond Platnumz) song with lyrics from Mbosso

Baikoko (feat. Diamond Platnumz)

Mbosso, Diamond Platnumz9 Mar 2021

Baikoko (feat. Diamond Platnumz) Lyrics

Baikoko - Mbosso/Diamond Platnumz

Lyrics by:Mbwana Yusuph Kilungi/Nasibu Abdul Juma Issaack

Composed by:Mbwana Yusuph Kilungi/Nasibu Abdul Juma Issaack

 

Ayo laizer

 

Kako fine

 

Kila ninikaweka kwenye line

Bilabila

 

Shuwaini

 

Kwake nimelewa kama wine

Tilalila

Ye sisimizi nami gegedu

Tuna gegeduana

 

Nilivyo sina jinsi

Tajiri wa mbegu

Namuhonga na mwana

 

Baba mndenge mama mzaramo

Uno lake la kurithi

Kafunga tenge mwali chakalamu

Shetani mwana ibilisi

Jipuu jipu

Uchungu uchungu

Mwana nyuma umejaza

Kishundundu

Kwenye zipu zipu

Kuna kirungu kirungu

Usikamate utawaita wazungu

Eeh heeh

Babu mkuna nazi aah

Haah achutama kishinani

Na msuli wake upo wazi

Mambo yote hadharani

Go go go go goal

Mtoto anadaka

Goli kipa runya mira wabeja

Tena akikata anaitikisa sababu

Baby acha unachezaga baikoko

Unavyo baby baikoko

Unavyoinyonga baikoko

Eeh waonyeshe baikoko

Baby acha unachezaga baikoko

Unavyo baby baikoko

Unavyoinyonga baikoko

Eeh waonyeshe baikoko

Asa komesha dengua dengua

Baby dengua dengua

Ringa dengua dengua

Deka dengua dengua wakuone

 

Kanivua ndala miguu

Anataka nipite peku peku peku

Kunduchi juu anifikishe kwetu

Kwetu kwetu

Embu tamu ladha ya kitumbua

Rojo ya embe kibada kibadah

Hodari kunengua

Miuno ya ushubwada shubwadah

Nyuma kalisasambua

Kafungasha midabwada bwaadah

Anavyo tafuna mua

Ka kibogoyo dada

 

Katoto kamelainika kwala kwala

Kapo kama ndizi banana nana

Nitakapeleka kwa mama mama

Mama dangote

Kama kuku twakimbizana zana

Kana ibuka kana zama zama

Kamwili kana balaa na

Lana lana lana kazote

Ebooh mtoto anadaka

Goli kipa ronya mira wabeja

Tena akikata anaitikisa sababu

Baby acha unachezaga baikoko

Unavyo baby baikoko

Unavyoinyonga baikoko

Eeh waonyeshe baikoko

Baby acha unachezaga baikoko

Unavyo baby baikoko

Unavyoinyonga baikoko

Eeh waonyeshe baikoko

Asa komesha dengua dengua

Baby dengua denguagua

Ringa dengua dengua

Deka dengua dengua wakuone

Kama anaifata

Anaima anainuka mwali anaifuata

Kwakujishebedua

Anainama anainuka mwali anaisusa

Kama hataki mwaache

Anaima anainuka mwali anaifuata

Kwa madoidoi

Anaima anainuka mwali anaifuata

Brrrok

 

Ka mix layzer

 

 

Wasafi

Popular Songs