
Like An Angel 歌詞
Like An Angel - Khadja Nin
Analiya disiwe
Mume wake
Ajali haina kinga
Wala kafara
Anaenda kijana
Maladi inamushinda
Ana aca bibi
Na mutoto mudogo
Mwanaume
Analala kimya
Like an angel
Mbele ya kufunga maco
Alimwambiya
Bibi yangu unisamehe
Ju sina mali
Ya kukuaciya
Mungu akulinde
Like an angel
Mawa ju kijana ule
Anaenda huruma
Mawa oh maliyo
Mawa ju kijana ule
Anaenda huruma
Mawa oh maliyo
Sheria ya mungu mama
Hayijulikane
Ajali haina kinga
Wala kafara
Kwaheli
Wende salama
Mungu akulinde
Like an angel
Like an angel