收聽Upendo Nkone的Uniongoze Yesu歌詞歌曲

Uniongoze Yesu

Upendo Nkone2013年4月30日

Uniongoze Yesu 歌詞

 

Uniongoze Yesu - Upendo Nkone

Uniongoze bado nakuhitaji

Uniongoze yesu kiongozi mwema

Moyo wangu nakuhitaji niongoze

Nivuke salama Mungu wangu uniongoze

Ulisema naposhindwa nikuite hivi leo nakuita nisikie

Usiende mbali nami usiniache pekee yangu

Mungu wangu uniongoze

Dunia hii ina mabo mengi sana baba

Sasa dhambi imetawala dunia

Waliookoka wengine wanarudi nyuma

Me napenda nikupendeze Mungu upendezwe nami

Niyashike maagizo yako unifurahie

Neno lako Yesu likae ndani yangu

Uniongoze bado nakuhitaji

Uniongoze yesu kiongozi mwema

Moyo wangu nakuhitaji niongoze

Nivuke salama Mungu wangu uniongoze

Ulisema ulidema naposhindwa nikuite hivi leo nakuita nisikie

Usiende mbali nami usiniache pekee yangu

Mungu wangu uniongoze

Kuna wengine wachanganya Mungu na dunia

Na wengine wanalibadili neno lako

Yesu ukisema na wao pia wanasema

Me nataka nikusikie Yesu ukisema nami

Maana wewe ndio wa thamani maishani mwangu

Nguvu zako yesu zikae ndani yangu

Uniongoze bado nakuhitaji

Uniongoze yesu kiongozi mwema

Moyo wangu nakuhitaji niongoze

Nivuke salama Mungu wangu uniongoze

Ulisema ulisema naposhindwa nikuite hivi leo nakuita nisikie

Usiende mbali nami usiniache pekee yangu

Mungu mungu wangu uniongoze

Ni kweli bwana nimekutana na vita kali vita kali

Lakini yesu umepigana badala yangu badala yangu

Wewe umekuwa ni mwamba wa wokovu wangu

Mbele yangu sijui kuna nini unipiganie

Usipokuwa nami sitaweza kitu unishikilie

Natamani sana nione uso wako Jemedari wangu

Uniongoze bado nakuhitaji

Uniongoze yesu kiongozi mwema kiongozi mwema

Moyo wangu nakuhitaji niongoze

Nivuke salama Mungu wangu uniongoze

Ulisema ulisema ulisema naposhindwa nikuite hivi leo nakuita nisikie

Usiende mbali nami usiniache pekee yangu

Mungu wangu mungu wangu uniongoze

Ulisema naposhindwa

Ulisema naposhindwa nikuite hivi leo nakuita nisikie

Usiende mbali nami usiniache pekee yangu

Mungu wangu uniongoze

Ulisema naposhindwa

Ulisema naposhindwa nikuite hivi leo nakuita nisikie

Usiende mbali nami usiniache pekee yangu

 

Mungu wangu uniongoze