Lirik Tanzania Ya Sasa
Tanzania Ya Sasa - Zuchu
Lyrics by:Zuhura Soud
Composed by:Zuhura Soud
We mama njoo
Njoo uone nchi ilivyobadilika
Tanzania ya leo
Imejengwa imejengeka
Vitaa uhungo tazara
Za juu barabara tayari zinatumika
Reli yenye fiwa govora
Standard Gauge karibu inakamilika
Tanzania ya sasa mama hai mama
Ya maghufuli mama hai mama
Inawaka waka mama hai mama
Inapendeza sana hai mama
Tanzania ya sasa mama hai mama
Ya ccm mama hai mama
Inawaka waka mama hai mama
Inapendeza sana
Nasema jua lile literemke mama
Jua lile literemke mama
Nasema wapinzani watetereke sana
Wapinzani watetereke sana
Jamani jua lile literemke mama
Jua lile literemke mama
Wabaki wapinzani watetereke sana
Wapinzani watetereke sana
Wazee watoto wanawake hospitali bure
Bure magufuli huyoo
Elimu ya msingi pamoja na sekondari bure
Bure magufuli huyoo
Ccm hai hai hai hai
Magufuli hai hai hai hai
Wapinzani wamekaa kaa kaa kaa kaa
Wamekaa kaa kaa kaa kaa
Doctor Sheni hai hai hai
Mama Samia hai hai hai hai
Wapinzani wamekaa kaa kaa kaa kaa
Wamekaa kaa kaa kaa kaa
Majaliwa hai hai hai hai
Nabashiru hai hai hai hai
Wapinzani wamekaa kaa kaa kaa kaa
Wamekaa kaa kaa kaa kaa
Tanzania ya sasa mama hai mama
Ya maghufuli mama hai mama
Inawaka waka mama hai mama
Inapendeza sana hai mama
Tanzania ya sasa mama hai mama
Ya Ccm mama hai mama
Inawaka waka mama hai mama
Inapendeza sana
Nasema jua lile literemke mama
Jua lile literemke mama
Nasema wapinzani watetereke sana
Wapinzani watetereke sana
Jamani jua lile literemke mama
Jua lile literemke mama
Wabaki wapinzani watetereke sana
Wapinzani watetereke sana
Mzee mangula hai hai hai hai
Paul Pole hai hai hai hai
Wabunge wote hai hai hai hai
Kamati kuu hai hai hai hai
Wajumbe wa nurse hhai hai hai hai
Wenye viti wa mitaa hai hai hai hai
Wenye vituo vitongoji hai hai hai hai
Mabalozi hai hai hai hai
Ccm hai hai hai hai
Magufuli hai hai hai hai
Wapinzani wamekaa kaa kaa kaa kaa
Wamekaa kaa kaa kaa kaa