收聽Ibraah的Subira歌詞歌曲

Subira

Ibraah, Skiibii2020年5月8日

Subira 歌詞

Subira - Ibraah/Skiibii

Lyrics by:Ibrahimu A N

Composed by:Ibrahimu A N

 

Oh nah nah

Subira imeniponza natokota

 

Kwote kupambana tatu bila

Langu penzi tamu tamu wameliokota

 

Eh moyo ukauwacha na malenge lenge

Umeota vidonda eh

 

Nimefuba hali ni shiwenge

Wivu nakonda

 

Anipita mbali kama kigege

Aniacha hoi mi mlege lege

Nadharaulika ananiona bwege

Oh inauma

 

Kama asali nishapokonywa masege

Kaniachiaga homa ya dege dege

Leo mlezi bichi mi wa mla ndege

Hakumbuki nyuma

 

Tena sikudhubutu

Kumfanya ajutie kunipenda

Niliamini wa milele daima

 

Daima

Kwake sikuaga zumbukuku

Japo yangu ya kitochi alimulikiaye

Anavyoiweka kando inaniuma

 

Inaniuma

 

Eh yangu akili

Ameichanganya changaya Ameidanganya

Hakuna tena siri

Ameichanganya moyo ameugawanya

Ye kumbe alipita kunusa

Ameichanganya

Penzi amelipangusa

Lipangusa aah aah nalia

Skibiii

 

Baby no be mato

That u drive me crazy gone you

Now I can't get u off my head

Can't get u off my head

Umeniachia kidonda kidonda

 

Mi mwenzako ninakonda

Kidonda kidonda

Skiibii Mayana nakonda

Ta ta ibani baby no saybe no uganio

Ma enjoy my money

I go stop by your side

Iganio ta

 

I wish you treat me right

 

I wish you do me right

 

I wish you don de lie

My heart is beating I love you die

Brass

 

Yangu akili

Ameichanganya changaya Ameidanganya

Hakuna tena siri

Ameichanganya moyo ameugawanya

Ye kumbe alipita kunusa

Ameichanganya

Penzi amelipangusa

 

Lipangusa aah aah nalia